Ads

PARFUMU YA DIAMOND MMMMMH....................



:CCM Bashite na Diamond!::


...Hapo chacha
Kutoka kwenye meza ya Mange

Image result for WASAFI PARFUMU

mangekimambi_Watanzania bwana Ndo maana tunashindwa kuwatoa CCM , mtu anaona kabisa wabunge wa CCM wanavyotuumiza Bungeni lakini anakwambia atampigia kura mbunge wake wa CCM sababu kaleta maendeleo jimboni kwake! Yani mtu anashidwa kuelewa kuwa mbunge wake Huyo Huyo anaeleta maendeleo jimboni anachangia matatizo yoooote tulinayo nchini! Na utamkuta analalamika kabisaaa kuwa wabunge wa CCM wanatuangusha sana Bungeni lakini bado anakwambia mbunge yeye atamchagua sababu analeta maendeleo. Jamani kuna kitu lazma mkielewe, hutuwezi sema hatuwataki wabunge wa CCM bungeni Ila bado tunawataka wabunge wa CCM wanaoleta maendeleo majimbo. Ni kuwachinja wote.

Diamond ametoka kutoa nyimbo ya kusimama na Bashite. Diamond anamsapoti Bashite 100%. 90% ya Watanzania wanalia Bashite atoke , Bashite ameteka watu, possibly keshauwa watu ( Ben Saanane) Ila Diamond yuko Na Bashite openly, Tena huyo Bashite ndo mlezi wake Ila bado kuna mtanzania ananiambia nimposti Diamond nimpongeze!yani Huyo mtanzania hapo anaumia kweli kweli Na issue ya Bashite Ila hana uwezo wa kuelewa kuwa kumsapoti Diamond ni kumsapoti Bashite indirectly!! You can not separate the 2.Na issue ya Roma it's very clear kuna kitu wasafi walikuwa wanakijua, there's no way Diaamond aliweza kutunga Na kutoa nyimbo ndani ya siku mbili za Roma kutekwa!! Na mnakumbuka manager wake Diamond , BabuTale alivyotujia Na posti ya kinafki ili waweze kumwingiza Bashite kwenye spotlight ya kumtafuta Roma.

Huku marekani kuna kampuni ya taxi inaitwa uber ilijitangaza kumsapoti Trump, wamarekani walisusia kutumia kampuni Hiyo na ndani siku 2 kampuni Hiyo ilitangaza kujiweka mbali na Trump jinsi ambavyo walikosa biashara. Dawa ya kukomesha nguvu au masifa ya Bashite ni kuwakomesha wooooote wanaomsapoti! Na njia moja ya kufanya hivyo ni kususia bidhaaa zao!ilibidi muache kwenda kwenye show za wasafi Hata zikiwa bure ilibidi muache! Ilibidi muache kununua kazi za wasaniii woooote wanaoiza wasafi.com, ilibidi msiguse kazi za bongo movie.

Huwezi kusema hukubaliani Na Bashite alafu unaenda kununua chibu perfume, huo ni uduwanzi ! Binti yake Trump bidhaa zake kama nguo mapochi etc vimetolewa kwenye maduka baada ya kususiwa na wananchi.
Source: Mange Page
Watanzania wenzangu nchi yetu sote hii na Pombe anapotupeleka siko, Tusikae Kimya

SOURCE TANZAGIZA.....

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.