Ads

MATOKEO YA MCHEZO KATI YA M.UNITED VS M.CITY......

Image result for manchester united

Manchester United waendelea kubaki katika nafasi ya 5 baada ya kutoka sare ya bila kufungana na mahasimu wao Manchester City ambao wanashikilia nafasi ya 4.

Katika mchezo huo Manchester United walijikuta wakibaki kumi uwanjani baada ya mchezaji wao Maroane Fellain kuonyeshwa kadi nyekundu dakika ya 84.


MSIMAMO WA LIGI KUU ENGLAND(EPL)


1
Chelsea
33
78

2
Tottenham Hotspur
33
74

3
Liverpool
34
66

4
Manchester City
33
65

5
Manchester United
33
64

6
Arsenal
32
60

7
Everton
34
58

8
West Bromwich Albion
33
44

9
Southampton
32
40

10
Watford
33
40

11
Stoke City
34
39

12
Crystal Palace
34
38

13
AFC Bournemouth
34
38

14
West Ham United
34
38

15
Leicester City
33
37

16
Burnley
34
36

17
Hull City
34
33

18
Swansea City
34
31

19
Middlesbrough
34
27

20
Sunderland
33
21
                                          

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.