Ads

Marekani na Korea Kusini wafanya mazoezi makubwa zaidi ya kijeshi

Marekani na Korea Kusini kwenye mazoezi makubwa zaidi ya kijeshi
Haki miliki ya picha
Marekani na Korea Kusini wameanza mazoezi makubwa zaidi ya pamoja ya kijeshi kuwai kufanywa kati ya mataiafa hayo mawili.
Miongoni mwa ndege 230 za vita zinazoshiriki kwenye mazoezi hayo ya kila mwaka kuna ndege sita za jeshi aiana ya F-22 Raptor stealth fighters
Hii inafanyika wiki moja baada ya Korea Kaskazini kulifanyia majaribio kombora la masafa marefu kinyume na vikwazo vya Umoja wa mataifa
Jeshi la Marekani lilisema kuwa zoezi hilo la pamoja ni la kuhakikisha kuwepo amani na usalama katika rasi ya Korea.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.