Ads

WATU 16 WAFARIKI KWENYE AJALI YA NDEGE MAREKANI

A still image showing a crashed plane in flames in a field, taken from video footage
Haki miliki ya picha
Takriban watu 16 wamefariki kwenye ajali ya ndege ya jeshi kwenye jimbo la Mississipi nchini Marekani.
Ajali hiyo ilitokea katika kaunti ya LeFlore karibu kilomita 160 kusini mwa mji mkuu wa jimbo hilo, Jackson.
Watu wote 16 waliokuwa ndani ya ndege hiyo waliangamia.
Hakuna taarifa rasmi zilizotolewa kuhusu kilichosababisha kutokea ajali hiyo.
Kwa mujibu wa jarida la jimbo la Mississipi ni kuwa ndege hiyo ilianguka katika shamba moja na mabaki yake yakatabakaa mbali.
A BBC map showing Leflore County in Mississippi state

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.