Ads

Kuzimwa kwa mtandao wa whatsap Tanzania...

Makamu wa Raisi Samia amezitaka kampuni za simu za mikononi kuzima mtandao wa Whatsap kila ifikapo saa kumi na mbili asubuhi mpaka kufikia saa kumi na moja jioni ili kuzuia wanafunzi kuingia kwenye mtandao huko wakati wa masomo.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.