Ads

SIRO AENDELEA NA MCHAKATO WA KULIFUMUA JESHI LA POLISI


Image result for igp siro

Image result for advertise here


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga.


Hayo yamewekwa wazi na taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi kupitia kwa msemaji wake ACP Barnabus D. Mwakalukwa .

Mabadiliko hayo, yanamgusa aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Suzan Salome Kaganda sasa amekuwa Mkuu wa Kitengo cha Mafao na Fidia Makao Makuu ya Polisi na nafasi yake imechukuliwa na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Murilo Jumanne ambaye alikuwa Kamanda Polisi Mkoa wa Shinyanga.

Mabadiliko mengine soma hapa 

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.