Ads

LUKAKU AFUNGA BAO LA USHINDI MAN U IKIICHAPA REAL SALT

Haki miliki ya picha
Image result for lukaku
Image result for advertise here
Timu ya Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Real Salt Lake katika mchezo wa kirafiki uliofanyika huko nchini Marekani. mabao ya timu hiyo yalifungwa na Henrikh Mkhitaryan na Romelu Lukaku huku goli la Real Salt Lake likifungwa na Luis Silva.
Wahispania wa Sevilla imeichapa Cerezo Osaka ya Japan kwa mabao 3-1,Wolfsburg wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Hansa Rostock
Sturm Graz na West Ham United wametoshana nguvu kwa sare ya bila kufungana .Real Union wamelala kwa kufungwa 3-1na Eibar.
Athletic Bilbao nao Fenerbahce nao wametoshana nguvu kwa mchezo kumalizika kwa sare ya bila bila.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.