Ads

Matukio Yote Tanzania Yamefunikwa na UKUTA.......


Inaelezwa watu 56 wameuawa kanda ya ziwa lakni hakuna ufuatilaji wala maelezo ya kina. Kuuawa kwa askari wanne nayo sio issue, ahadi za rais, vurugu mkutano wa CUF, bomba la mafuta, ufuatiaji wa mapato ya kila mwezi ya serikali, majipu, mafisadi na mahakama ya mafisadi, vyote ni kama vimepotezwa na UKUTA.

Mitaani ni UKUTA, media ni UKUTA, kanisani na misikitini ni UKUTA, serikali na vyombo vya dola UKUTA, sokoni, shuleni na hospitali UKUTA, bbc, cnn, cctv nk

UKUTA, UKUTA, UKUTA! Haijawahi kutokea. Je upo kweli? Nini athari yake?

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.