Ads

Tottenham Hotspurs sio watu wazuri aisee..........



ArsenalHaki miliki ya picha

Klabu ya soka ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kuwabwaga kwa bao 2-0 Arsenal kwenye 
Mechi ya Ligi Kuu England, iliyochezwa huko White Hart Lane ikiwa ni Dabi ya Jiji London Kaskazini.Magoli ya Tottenham katika mchezo huo yamefungwa na wachezaji Dele 
Alli pamoja na Harry Kane, kwa ushindi huo Hotspurs wamepaa hadi nafasi ya Pili wakiwa 
na alama 4 nyuma ya Vinara Chelsea, na kwa kichapo hicho Arsenal sasa wanashika nafasi ya 6 wakiwa nyuma ya Mananchester United ambao wao wamecheza dhidi ya Swansea city 
ambapo Manchester United walitoshana nguvu kufuatia sare ya kufungana bao 1-1.
Nao Midllesbra walitoshana nguvu na Manchester City kwa kufungana mabao 2-2.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.