Ads

Sheikh Mansour(Mmiliki wa Klabu ya Manchester city) bilionea mwenye jeuri ya pesa..........





Mashabiki wa soka walishtushwa na tukio la septemba mwaka 2008, baada ya Manchester City kumsajili Robihno kutoka Madrid kwa ada ya pauni millioni 33.

Usajili ulikamilika m,ara baada ya kampunoi ya uwekezaji ya Abu Dhabi United Group (ADUG)kuinunua klabu hiyo mwaka 2008.Baada ya kuinunua Klabu hiyo kitu cha kwanza ni kuonyesha jeuri  ya fedha kwa kumsajili Robihno ambaye pia alikuwa akiwaniwa na Chelsea.

Je ninani aliyefanya jeuri hii, simwingine ni Sheikh Mansour Bin Zayed Al Nahyan maarufu kwa jina la Sheikh Mansour ambaye ndiye mmiliki wa ADUG anayemwaga fungu la usajili katika klabu hiyo.Mansour alizaliwa , Novemba 20, 1970 kwenye ukoo unaotawala umoja wa falume za kiarabu(AUE), akiwa ni naibu waziri mkuu wakati kaka yake Khalifa Bin Al Nahyan ndiye raisi wan chi hiyo

Sheik Mansour pia ni mwenyekiti wa baraza la mawaziri wa la AUE na mmoja wa viongozi waandamizi wa vikao vya baraza la juu la nishati ya petrol,pia nikiongozi mwandamizi International Petroleum Invetiment Company ya Abu Dhabi Investiment council. Lakini je nnje ya hapo Sheikh Mansour kwanini anajeuri kiasi hiki?


                Usikose kupitia blog yangu click allymshana.blogspot.com-(Msaka habari blog) kila siku kwa habari za kitaifa kimataifa pia 


















No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.