Ads

JIFUNZE JUU YA MZUNGUKO WA MWANAMKE NDANI YA MWEZI.........................



Imekuwa kama jambo la kawaida kwa jamii ya kisasa hasa  wanawake kutoelewa mzunguko wao wa mwezi nakujikuta wakipata mimba zisizo tarajiwa.Lakini kwa upande mwingine tatizo kubwa lipo kwa baadhi ya wanaume ambao wameshindwa kuuelewa mzunguko mzima wa wake zao halikadhalika kwa wale wapenzi.

HEBU LEO TUJIFUNZE JAPO KWA UFUPI JUU YA MZUNGUKO MZIMA WA
MWANAMKE  NDANI YA MWEZI(HEDHI)
Kama inavyojulikana mwezi unakuwa na siku 30 basi mzunguko wa mwanamke nao unakuwa kama ifuatavyo.
·         HEDHI, idadi kubwa ya wanawake huwa mara nyini huingia hedhi kwenye tarehe 1,2,3,4 na 5 ambapo kipindi hiki huwa kunakuwa na hali ya kutokwa na damu nyingi(bleeding). kipindi hiki damu nyingi huwatoka kitendo kinachopelekea kupata maumivu ya tumbo.Pia hapa mwanamke anakuwa na hasira za karibu na kuchukia kitu au jambo pasipo na sababu za msingi.

·         SALAMA,Baada ya maumivu hayo  na kutokwa na damu siku tabo(wiki moja), mwanamke huanza kujisikia vizuri siku ya sita.Hapa mwanamke anakuwa salama nahii nikuanzia tarehe 6,7,8,9,10 na hapa huwa inashauriwa kwa wale wapenzi au wanandoa kama umeamua kufanya tendon a mwenza wako basi tumia kinga(kondom) mana japo nisalama lakini ni kwa asilimia chache.
·         HATARI,Hapa ndipo watu wengi wanapokosea nakujikuta wakifanya mambo yasiyotarajika(mimba za utotoni,mimba zisizo tarajiwa…), lakini  Kama utakuwa mwelewa kwa nilichokisema hapo juu basi mana yake ni hii hapa, siku tano za pili ndani ya mzunguko wa mwanamke ambazo ni siku ya 6 hadi ya kumi hapa nisalama lakini nihatari pia kwasababu siku nane zinazofata ambazo ni tarehe 11,12,13,14,15,16,17, na 18 hizi ni siku za hatari sana kwani nirahisi kwa mwanamke  kupata ujauzito.

·         SALAMA, Ukizizitoa zi siku tano za kwanza, pili na siku nane za tatu ndani ya mwezi mmoja ambazo ukizijumlisha unapata jumla ya siku kumi na nane(18), hapa kuna siku kumi za mwisho ambazo mwanamke huwa salama na inaruhusiwa kufanya tendo na  mwenza wake hii inakuwa nikuanzia tarehe 19,20,21,22,23,24,25,26,27, na 28..

Japo ni kwa ufupi tu lakini natumaini utakuwa umejifunza machache juu ya swala zima la mzunguko wa mwezi wa mwanamke(hedhi) na natumaini umeelewa.
Ushauri kwa wale wenye mahusiano nivyema kujua siku za hatari kwa kwa mwenza wako hii itakusaidia kuepusha mimba zisizo tarajiwa.



Imeandaliwa na Ally mshana



No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.