Ads

Maneno ya Sober House Kuhusu Ray C Kupost Instagram…............


Unaambiwa Ray C sasa ni chuma cha Reli Amerudi katika hali yake ya kawaida kabisa baada ya kukaa Sober House kwa ajili ya tatizo la dawa za kulevya....Ray c kwasasa ameanza kutumia mtandap wake wa Instagram baada ya kuacha muda mrefu,  mmiliki wa kituo hicho Nuru kayaongea haya kuhusiana na post mpya za msanii huyo kwenye mtandao wa instagram na mengineyo
Ray C mpaka sasa hivi anaendelea vizuri na kuhusiana na zile post zake kwenye instagram yeye ndio anahusika kuzipost kwani amerudi katika hali yake ya kawaida na vitu anavyopost ni kuhusiana na hali yake kwahiyo maendeleo yake sio mabaya’

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.