Ads

Mama Diamond Hapendezwi na Hiki Mitandaoni Kuhusu Mwanae Diamond na Baba yake.......


Mama yake mzazi na Staa Diamond Platnumz amefunguka na kuzungumza kinachomkera kwenye mitandao kuhusiana na Diamond Platnumz.

Mama huyo aliipata heshima millardayo.com na & Ayo TV kuyaongea :
Sio kwenye magazeti tu hata kwenye instagram kuhusu Diamond amjali Baba yake hawa watu wanaoandika hivyo wananikera sana ninaumia kwani Diamond kila mwezi anapeleka hela ya matumizi kwa Baba yake sasa sijui hayo maneno yanatoka wapi’
‘Mimi na Baba Diamond tunaongea muda mrefu hata ukisema nimpige utamsikia akiongea lakini nashangaa kutwa watu wanasema Naseeb hatoi huduma kwa Baba yake ni habari si za kweli, sasa hivi anakaa Kagera Dar es Salaam na siku hizi mbili nitaenda tena kumpelekea Chakula na nitaipost ili waone’

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.