Mgao wa Fedha za Mbwana Samatta Kuuzwa Genk Zaanza Kuleta Zengwe Klabu ya Simba...
Simba ilipomuuza Samatta kwa TP Mazembe ya DR Congo, moja ya masharti ya mkataba ni kulipwa asilimia 20 ya kila anapouzwa lakini hadi sasa klabu hiyo ya Mtaa wa Msimbazi haijapokea fedha za Genk.
Ili kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua zaidi, Simba ilifanya uchunguzi ikiwemo kuwasiliana na Genk na kuhakikishiwa kuwa, tayari waliilipa TP Mazembe fedha zote za usajili.
No comments