Ads

Polisi watafuta sababu ya mauaji Las Vegas

Police are seen crouching in front of vehicle outside hotelHaki miliki ya picha
Polisi wanajaribu kugundua sababu ya ufyatuaji mkubw wa risasi uliosababisha vifo vya watu 59 na kuwajehi wengine 527 kwenye warsha moja huko Las Vegas.
Mtu mwenye silaha Stephen Paddock, 64, alifyatua risasi kutoka ghorofa ya 32 ya hoteli ya Mandalay Bay, kwenda kwa warsha moja ya mziki Jumapili usiku.
People run from the Route 91 Harvest country music festival after apparent gun fire was heard on October 1, 2017 in Las VegasHaki miliki ya picha
Polisi walipata bunduki 23 kwenye chumba chake cha hoteli na zingine 19 na vilipuzi nyumbani kwake huko Nevada.
Lakini hadi sasa hakuna sababu ya hatua hiyo yake iliyoibuka. JIONEE NA HUKO KENYA MAMBO YALIVYO KWASASA  https://youtu.be/ajpxlCvwEQQ
Wachunguzi hawajapata uhusiano wowote na ugaidi licha ya kundi la Islamic State kudai kuhusika.
Suspected gunman - undated imageHaki miliki ya picha
Baadhi ya wachunguzi wamedai mtu huyo kuwa na matatizo kisaikolojia lakini hio bado halijathibitishwa.
Mtu huyo hakuwa anafahamika kwa polisi.
Stephen Paddock aliishi katika jamii ya watu wazima kwenye mji mdogo wa Mesquite kaskazini mashariki mwa Las Vegas
Stephen Paddock's house in quiet retirement community near Las Vegas.Haki miliki ya pichaBBC/LAURA BICKER
Image captionNyumba ya Stephen Paddock
Aliripotiwa kuishi na mwanamke kwa jina Marilou Danley ambaye kwa sasa yuko nchini Japan na polis wanasema kuwa yaonekana hakuhusika

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.