Ads

UFARANSA,WATU KADHAA WAJERUHIWA NA RISASI NJE YA MSIKITI...

A police officer stands guard on a street near the scene of a shooting in front of a mosque, 2 July 2017
Haki miliki ya picha
Watu 8 wamejeruhiwa wakati wa ufytuajia risasi nje ya msikiti kusini mwa Ufaransa.
Waumini waliokuwa wakiondoka kwenye msikiti wa Arrahma, walikaribiwa na washukiwa wawili waliokuwa na bunduki ambao walifyatua risasi kwa umati.
Polisi wanasema kuwa hawachukulii kisa hicho kuwa cha kigaidi.
Watu wanne walijeruhiwa nje ya mskitini wanne wakiwa wa familia moja. akiwemo msichana ya miaka 7.
Map shows the location of Avignon, southern France
Wawili kati ya watu 8 waliojeriawa walilazwa hospitalini.
Walioshudia wanasema kuwa watu kadha karibu na msikiti walianza kukimbia wakati waliona washukiwa wawili wakiondoka kwenye magari yao na kuwakaribia wakiwa na bunduki mkononi.
Kisa cha Avigno hakichukuliwi kama cha kigaidi, ofisi mkuu wa mshataka ilisema.
Kwa sasa idara ya ujasusii inakifuatilia kisa hicho.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.