Ads

Ronaldo aweka rekodi tena....




Cristiano Ronaldo ameithibitishia dunia yeye ni mchezaji wa aina yake baada ya kuweka rekodi ya kuwa mfungaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa misimu mitano mfululizo.

Ronaldo amefunga mabao mawili wakati Real Madrid ikiitwanga Juventus kwa mabao 4-1 na kube ubingwa wa Ulaya.

Mabao hayo mawili yamemfanya amfikie na kumvuka mpinzani wake, Lionel Messi wa Barcelona ambaye alikuwa na mabao 11.

MISIMU
2017- Mabao 12
2016- Mabao 16
2015-Mabao 10
2014- Mabao 17

2013-Mabao 13.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.