Ads

Diamond Hongera Kwa Kumpata Zari Lakini Nina Duku Duku Moyoni.......


Jamani tunajua Dada zetu wabongo kichwani Hamna kitu, wanawaza starehe tu na hawapendi maendeleo wala kujituma kama zari, tunajua zari yupo smart kichwani anajielewa, pengine kutokana na malezi na exposure aliyoipata ya kutembelea nchi mbali mbali, hivyo ni dhahiri upeo wake wa kufikiri ni mkubwa zaidi kuliko Dada zetu hawa bongo movie na bongo flavor, na namsifu zari kwa kweli japokua Ana ka cv kabaya ila sijawahi kumsikia akiwa na scandal za wanaume toka kawa na diamond, achilia mbali mashauzi na dharau ambayo yanaweza kutokana na malezi au hali ya kimaisha, kwa hilo tu nampongeza zari kwa kuficha aibu ya kaka yetu ambaye alikua akiitwa tasa kila siku(ikiwemo Mimi)

Tukija upande wa pili, ina maana diamond wanawake wote wa bongo ni ****** kiasi hicho mpaka uende ng'ambo?? Sitaki kuamini ujue, mi roho inaniuma ujue?? Mjengo wote ule umeenda kwa waganda? Maana mama teeh hataki ujinga Yule na hacheki ovyo na watu, hata kuja kwako mashabiki tutashindwa ujue maana mwanamke hana ushoga wala ujirani na mtu khaaa ,kama Salome tu alisahau hereni wakati mkifanya shooting kaumbuliwa vile hadharani haya sie majirani ya madale tukija tukasahau viatu si ndo vitatangazwa snapchat nzima?? Waah hapana kwa kweli

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.