Ads

Pogba kutua Man U rasmi nakukaabidhiwa Jezi Namba 6.......


Baada ya kusajiliwa na Manchester United kutoka Juventus ya Italia kwa ada ya paundi milioni 89 kwa mkataba wa miaka mitano, Paul Pogba, amekabidhiwa jezi namba 6 ambayo pia alikuwa akivaa zamani alipokuwa Juventus kabla ya kupewa jezi namba 10. Tazama picha za staa huyo akiwa na uzi wa Man United.

No comments

Theme images by andynwt. Powered by Blogger.